GWAJIMA APIGWA CHINI UBUNGE JIMBO LA KAWE,SABABU ZATAJWA

 

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, ameachwa kwenye uteuzi wa wagombea wa Jimbo la Kawe katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla ambapo amewataja jumla ya wagombea nane kuwania jimbo hilo.

 

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form