BABALEVO APITISHWA KUGOMBEA UBUNGE KIGOMA MJINI,MWIJAKU ATEMWA

Mtangazaji Mwijaku  jina lake halijafanikiwa kupitishwa kwenye idadi ya watu nane (8) waliyopitishwa kuomba ridhaa ya kugombea Ubunge katika Jimbo Mvomero Morogoro kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM. 

Msanii na mtangazaji Baba Levo amechaguliwa miongoni wa sita bora waliyoomba ridhaa ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigoma mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM. 

 


Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form