RAIS MSTAAFU WA TANZANIA JAKAYA KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA RAILA ODINGA

 Rais mstaafu Mhe.Jakaya mrisho Kikwete ni miongoni mwa Viongozi mashuhuri waliohudhuria shughuli ya kitaifa ya mazishi ya aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Kenya hayati Raila Odinga katika uwanja wa Nyayo Nairobi nchini humo leo oktoba 17 2025.




 

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form