Takriban watu
1,000 wamepoteza maisha kutokana na maporomoko ya ardhi katika milima ya
Marra, magharibi mwa Sudan, kufuatia mvua kubwa zilizonyesha katika
mkoa wa Darfur. Mtu mmoja pekee ameripotiwa kunusurika.
Kwa
mujibu wa Vikosi vya Ukombozi wa Sudan (SLM/A), kijiji kilichoathirika
ambacho kilikuwa makazi ya wakimbizi wa ndani waliokimbia mapigano ya
Darfur Kaskazini kimezama kabisa ardhini. Juhudi za uokoaji zinatatizwa
na hali ngumu ya kijiografia na ukosefu wa vifaa.
SLM/A imetoa
wito kwa Umoja wa Mataifa na mashirika ya kimataifa kutoa msaada wa
haraka kwa manusura na kusaidia kutafuta miili ya waathirika.
akriban watu
1,000 wamepoteza maisha kutokana na maporomoko ya ardhi katika milima ya
Marra, magharibi mwa Sudan, kufuatia mvua kubwa zilizonyesha katika
mkoa wa Darfur. Mtu mmoja pekee ameripotiwa kunusurika.
Kwa
mujibu wa Vikosi vya Ukombozi wa Sudan (SLM/A), kijiji kilichoathirika
ambacho kilikuwa makazi ya wakimbizi wa ndani waliokimbia mapigano ya
Darfur Kaskazini kimezama kabisa ardhini. Juhudi za uokoaji zinatatizwa
na hali ngumu ya kijiografia na ukosefu wa vifaa.
SLM/A imetoa
wito kwa Umoja wa Mataifa na mashirika ya kimataifa kutoa msaada wa
haraka kwa manusura na kusaidia kutafuta miili ya waathirika.