TAIFA STARS YAANZA VYEMA CHAN YAICHAPA BURKINAFASO

 Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vyema mashindano ya kombe la Mataifa Afrika kwa wachezaji wa ndani CHAN2024 baada ya kuilaza Burkina Faso 2-0 katika dimba la Benjamin Mkapa.

Tanzania ipo Kundi B la michuano hiyo sambamba na Mauritania, Madagascar, Jamhuri ya Afrika ya kati na Burkina Faso.

FT: Tanzania 🇹🇿 2-0 🇧🇫 Burkina Faso

⚽ 45+3’ Sopu 

⚽ 71' Zimbwe Jr



Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form