SIMBA SC YAMTAMBULISHA KIUNGO HUSEIN SEMFUKO

 Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Hussein Semfuko kutoka Coastal Union ya jijini Tanga kwa mkataba wa miaka mitatu.

Semfuko ana umri wa miaka 21 huku akiwa na uwezo mkubwa sana wa kukaba timu inapopoteza mpira ameonyesha hivyo akiwa na Coastal na sasa ni mali ya Simba.

Unaupa asilimia ngapi usajili huu?




Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form