YANGA YAMTAMBULISHA CASEMIRO KUTOKA MLANDEGE,ZANZIBAR

 Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili kiungo mkabaji Abdulnasir Mohamed almaarufu Casemiro kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Mlandege

Nyota huyo ambaye alishinda tuzo ya mchezaji bora kijana wa msimu wa 2024-25 katika tuzo za Farafa Zanzibar alikuwa akiwaniwa pia na Azam Fc, JKT Tanzania na Singida Black Stars.



Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form