Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji Pacome Zouzoua ataendelea kusalia klabuni hapo kwa msimu ujao baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027.
Tags
Michezo
Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kuwa kiungo mshambuliaji Pacome Zouzoua ataendelea kusalia klabuni hapo kwa msimu ujao baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2027.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more