TAARIFA ZITATOLEWAM KUJIUZULU KWA POLEPOLE

 Waziri wa Mambo ya Nje, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amesema taarifa kuhusu Balozi Humphrey Polepole zitatolewa na mamlaka husika baada ya kukamilika kwa taratibu za Kisheria kufuatia kujiuzulu kwake Julai 13, 2025 akitaja kutoridhishwa na mwelekeo wa Uongozi.

Akizungumza leo Julai 23, 2025, Balozi Kombo amesema "Suala lile lina masuala ya Kisheria, Kanuni na masuala ya Utumishi wa Umma na lina taratibu zake, zikikamilika kwa Utumishi wa Umma taarifa za kina zitatolewa."


 

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form