KOCHA WA YANGA SC MILOUD AJIUNGA NA ISMAILY SC YA MISRI

Kocha wa zamani wa Yanga SC, Miloud Hamdi amejiunga na Ismaily SC ya Egypt  kwa mkataba wa mwaka mmoja.

Kocha Miloud Hamdi anajiunga na Ismaily na makocha wawili wasaidizi Hammadi Saghier Kocha Msaidizi raia wa Belgium na Marouane Silimani Kocha wa viungo (Fitness Coach) kutoka nchini Tunisia.

Ismaily SC inamlipa mshahara mara mbili na aliokuwa anapata Yanga SC, Ismaily SC watamtangaza leo Kocha Miloud Hamdi.



Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form