KANUNI ZA UCHAGUZI TFF ZAMBEBA WALLACE KARIA

Rais wa TFF Wallace Karia amesalia kama mgombea pekee kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi utakao fanyika 16Agosti2025 jijini Tanga.

Kwenye mkutano na waandishi wa habari mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi TFF amesema kuwa wagombea wengine wamekosa vigezo vya kugombea kwa mujibu wa kanuni za uchaguzi.



Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form