Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai amefariki dunia leo Jumatano, Agosti 6, 2025 jijini Dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Dkt. Tulia Ackson.
Aliyewahi kuwa Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai amefariki dunia leo Jumatano, Agosti 6, 2025 jijini Dodoma.
Taarifa hiyo imetolewa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani, Dkt. Tulia Ackson.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more