TANZANIA NA JAPAN KUIMARISHA USHIRIKIANO WA VIJANA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhwan Jakaya Kikwete , Agosti 27  2025, Dar es Salam amekutana kwa mazungumzo na Mhe. Gembá Koichiro, Makamu Spika wa Baraza la Wawakilishi la Japan yaliyolenga kuimarisha uhusiano wa muda mrefu kati ya Tanzania na Japan kwenye sekta za  maendeleo ya rasilimali watu hususan hasa vijana.


 

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form