MPINA ATEMBELEA MAKAO MAKUU ACT

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT Wazalendo Ndg. Luhaga Mpina akiambatana na Mgombea Mwenza Ndg. Fatma Ferej, leo 08 Agosti 2025 wametembelea Ofisi za Makao Makuu ya Chama na kupokelewa na Kiongozi wa Chama Ndg. Dorothy Semu

Viongozi wengine waliowapokea wagombea hao ni pamoja na Makamu Mwenyekiti Bara Ndg. Isihaka Mchinjita Katibu Mkuu Ndg. Ado Shaibu, KC Mstaafu Ndg. Zitto Kabwe Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Chama Ndg. Mhonga Ruhwanya pamoja na Maafisa mbalimbali wa Chama Makao Makuu.


Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form