Kiongozi wa Kijeshi wa Mali, Jenerali Assimi Goïta amepewa muhula wa Urais wa miaka mitano na Bunge la mpito.Kiongozi huyo wa Kijeshi ambaye amenyakua Mamlaka mara mbili, aliahidi kurejea kwa demokrasia mwaka jana, lakini haikufanyika.
Kiongozi wa Kijeshi wa Mali, Jenerali Assimi Goïta amepewa muhula wa Urais wa miaka mitano na Bunge la mpito.Kiongozi huyo wa Kijeshi ambaye amenyakua Mamlaka mara mbili, aliahidi kurejea kwa demokrasia mwaka jana, lakini haikufanyika.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more