TANZANIA: KATIBU WA UMOJA WA WAZAZI CCM WILAYA YA UBUNGO AFARIKI DUNIA

 TANZIA

Umoja wa wazazi wa CCM Mkoa wa DSM unatangaza kifo cha Katibu wa Umoja wa wazazi wa CCM Wilaya ya Ubungo ndugu Antony Gaus Kampendeza Kilichotokea tarehe 24.08.2025 majira  ya jioni leo DSM.

BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE

Taarifa zaidi zitaendelea kutolewa.


 

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form