Yanga
wamekamilisha idadi ya magoli waliyokuwa wakiyahitaji ili kufuzu Robo
fainali, kazi ilikuwa Jijini Cairo kwa Al Ahly kuwafunga FAR Rabat hata
goli moja tu.
Licha ya Yanga kushinda mabao 3-0 ila wameshindwa kufuzu hatua ya robo fainali na kuishia makundi kama msimu jana ambapo waliishia hatua hii na alama 8 pekee.
0 Comments