Klabu ya Azam
FC hii leo waondoshwa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Barani
Afrika (CAFCC) baada ya kukubali kichapo cha 2-0 mbele ya Wydad
Casablanca katika Dimba la Mohamed V.
Azam Fc wameishia katika
hatua ya makundi wakiwa na alama 9 ikiwa ni kwa mara ya kwanza katika
historia ya Klabu hiyo kushiriki katika hatua ya Makundi na kumaliza
wakiwa na alama 9.
FT: Wydad AC 2-0 Azam Fc FT: Maniema 3-0 Nairobi United
MSIMAMO KUNDI B: 1. Wydad AC Alama 15 2. Maniema Alama 12 3. Azam FC Alama 9 4. Nairobi United Alama 0
NB: Azam Fc ndiyo timu kutoka Tanzania iliyokusanya alama Nyingi zaidi (9) katika michuano ya kimataifa CAFCC/CAFCL.
0 Comments