MBUNGE MTEULE ARUSHA MJINI ALIVYOWASILI BUNGENI KUJISAJILI

 Mbunge Mteule wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda akiwasili katika viwanja vya Bunge kwa ajili ya kujisajili rasmi kabla ya kuanza kwa majukumu ya Bunge la Kumi na Tatu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, linalotarajiwa kuanza kesho Novemba 11, 2025.





Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form