Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetoa Taarifa kuwa Jioni ya leo Novemba 10. 2025 Jeshi la Polisi limewaachia kwa dhamana viongozi wakuu wa Chama waliokuwa wanawashikilia.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimetoa Taarifa kuwa Jioni ya leo Novemba 10. 2025 Jeshi la Polisi limewaachia kwa dhamana viongozi wakuu wa Chama waliokuwa wanawashikilia.
0 Comments