Ofisa Habari wa klabu ya Azam FC,Hasheem Ibwe amechukua fomu Rasmi CCM Kuutaka Ubunge Jimbo la Mwanga - Kilimanjaro hiiimekuja baada kuonyesha nia kama kijana ya kutaka kuleta mabadiliko ya kimaendeleo kwenye jimbo hilo.
Ofisa Habari wa klabu ya Azam FC,Hasheem Ibwe amechukua fomu Rasmi CCM Kuutaka Ubunge Jimbo la Mwanga - Kilimanjaro hiiimekuja baada kuonyesha nia kama kijana ya kutaka kuleta mabadiliko ya kimaendeleo kwenye jimbo hilo.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more