Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya kutoka bungeni ambapo Rais Samia Suluhu Hassan anahutubia taifa leo na kuvunja shughuli za bunge la 12 la Jamhuri ya muungano wa Tanzania leo Jijini Dodoma.
GUSA HAPA KUTAZAMA MOJA KWA MOJA TUKIO ZIMA LA RAIS KUVUNJA BUNGE