Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, Katibu wa Taasisi za Jumuiya za Kiislam Tanzania na Mwanachama wa Chama cha ACT Wazalendo, Sheikh Ponda Issa Ponda amekabidhiwa fomu ya kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Temeke.
Sheikh Ponda amekabidhiwa fomu ya kugombea nafasi hiyo leo Juni 24, 2025 na Katibu wa ACT Wazalendo Jimbo la Temeke, Mussa Bakary, katika ofisi za jimbo iliyopo Kata ya Azimio, Tandika jijini Dar es Salaam.

0 Comments