KESI YA UHAINI:LISSU ANAENDELEA KUJITETEA LEO JUMATATU

 Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, inaendelea leo Jumatatu katika Mahakama Kuu ya Tanzania, baada ya kuahirishwa Ijumaa wakati Lissu akiendelea kutoa ushahidi wake wa kujitetea.
 
TANGAZA BIASHARA YAKO UFIKIE MAELFU YA WATEJA KWA ELFU 5 TU.PIGA SASA 0654414804. 

Ijumaa ilikuwa siku muhimu katika kesi hiyo baada ya Mahakama Kuu kumkuta Lissu ana kesi ya kujibu, hatua iliyofungua rasmi hatua ya utetezi.

Lissu aliamua kujitetea mwenyewe na alianza kwa kueleza historia yake ya kisiasa, uzoefu wake kama mwanasheria na mshiriki katika masuala ya uchaguzi Tanzania.


Post a Comment

0 Comments