Bayern Munich
imetwaa ubingwa wa ligi kuu Ujerumani (Bundesliga) kwa mara ya 35 kufuatia ushindi mnono wa 4-2 dhidi ya VfB Stuttgart na kufikisha pointi
79 ambazo haziwezi kufikiwa na timu yoyote kwa mechi nne zilizosalia
kabla ya kufungwa kwa pazia la ligi hiyo.
Borrusia Dortmund ipo
nafasi ya pili alama 64 baada ya mechi 30 na ikishinda mechi zote
zilizosalia itafikisha pointi 76, alama tatu nyuma ya pointi za Bayern
sasa.
FT: Bayern Munich 4-2 VfB Stuttgart ⚽ 31’ Guerreiro ⚽ 33’ Jackson ⚽ 37’ Davies ⚽ 52’ Kane ⚽ 21’ Fuhrich ⚽ 89’ Andres
0 Comments