Wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, Robert Amsterdam, ameutaka Umoja wa Mataifa na jumuiya ya kimataifa kutoa dhamana za usalama kwa kiongozi huyo kufuatia vitisho vikali baada ya uchaguzi na kuzimwa kwa mtandao Nchini Humo.
Wakili wa kiongozi wa upinzani nchini Uganda, Bobi Wine, Robert Amsterdam, ameutaka Umoja wa Mataifa na jumuiya ya kimataifa kutoa dhamana za usalama kwa kiongozi huyo kufuatia vitisho vikali baada ya uchaguzi na kuzimwa kwa mtandao Nchini Humo.
0 Comments