Golikipa wa klabu ya Simbasctanzania Moussa Camara ataondoka kesho nchini kuelekea Morocco kwa ajili ya matibabu na atafanyiwa upasuaji siku ya jumatatu Nov 17,2025 na anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki nane mpaka kumi.
Tags
Michezo
Golikipa wa klabu ya Simbasctanzania Moussa Camara ataondoka kesho nchini kuelekea Morocco kwa ajili ya matibabu na atafanyiwa upasuaji siku ya jumatatu Nov 17,2025 na anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa takribani wiki nane mpaka kumi.
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more