KIKOSI RASMI CHA SIMBA SC KUELEKEA MSIMU MPYA 2025-26

 

Hiki hapa kikosi rasmi cha Simba SC kitakachopambania nembo ya klabu hiyo kwa msimu ujao wa kimashindano 2025-26 kimetambulishwa kwenye tamasha Simba day siku ya jana mbele ya nyomi kubwa la mashabiki kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa.

Post a Comment

Previous Post Next Post

Contact Form