Watoto wawili wa kiume wa familia moja wamefariki dunia papo hapo, huku mtoto mwingine wa kike akinusurika baada ya kuangukiwa na gema la udongo wakati wakichimba mchanga pembezoni mwa Mto Bariadi, uliopo Mtaa wa Mji wa Zamani, Wilaya ya Bariadi, Mkoa wa Simiyu.
ELFU 5 TU TANGAZA BIASHARA YAKO UFIKIE MAELFU YA WATEJA PIGA SASA 0654414804.
.jpeg)
0 Comments