Wanandoa Marie Ebert (30) na Alexander Cromie (31) wamefariki dunia baada ya helikopta waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika Kisiwa cha Sifnos Nchini Greece, walikokuwa wamekwenda kwa ajili ya fungate yao baada ya kufunga ndoa hivi karibuni.
Wanandoa Marie Ebert (30) na Alexander Cromie (31) wamefariki dunia baada ya helikopta waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika Kisiwa cha Sifnos Nchini Greece, walikokuwa wamekwenda kwa ajili ya fungate yao baada ya kufunga ndoa hivi karibuni.
0 Comments