Mshambuliaji wa Yanga Selemani Mwalimu ‘Gomes’ amewasili Zanzibar kujiunga na kikosi cha Yanga.Mwalimu amewasili Unguja leo mchana, akiwa amevalia mavazi rasmi ya Yanga, akipokelewa na Makamu wa Rais wa klabu hiyo, Arafat Haji.
GUSA HAPA,UMEKOSA MTOTO KWA MUDA MREFU NA REJESHA HESHIMA CHUMBANI AU PIGA SIMU 0690013881

0 Comments