Tofauti na mfumo wa kawaida, matumizi ya magari madogo ya usambazaji yanaiwezesha kampuni hiyo kufikia kwa urahisi maeneo yenye mitaa myembamba pamoja na maeneo ya ujenzi ambayo ni vigumu kwa magari makubwa ya mafuta (tankers) kupita. Huduma hii inalenga kuhudumia magari madogo na makubwa, jenereta za viwandani na maofisini, taasisi kama shule na hospitali, pamoja na makambi na maeneo ya ujenzi (sites).
Ili kupata huduma hii, wateja wanatakiwa kuwasiliana na kampuni hiyo kwa njia ya simu na kufikishiwa mafuta moja kwa moja mahali walipo.Mawasiliano: 0679128405.
SULUHISHO LA MAFUTA YA DIESEL DAR ES SALAAM
Je, una changamoto ya kufikisha mafuta ya diesel kwenye eneo lako la kazi, jenereta, au chombo chako cha usafiri? Kampuni ya Juma Puga Transportation inakuletea huduma ya kusambaza na kujaza mafuta ya Diesel mahali ulipo, kwa haraka, usalama, na urahisi zaidi!
Ondokana na usumbufu wa kubeba mafuta kwenye madumu au hatari ya kuishiwa nishati njiani na kwenye mashine muhimu. Magari yetu madogo yana uwezo wa kufika hata maeneo yenye mitaa myembamba na sites za ujenzi ambazo tankers kubwa haziwezi kupita.
Maeneo Yanayofikiwa na Huduma Hii:
Usafirishaji: Magari madogo na makubwa
Nishati ya Dharura: Generator za viwandani na maofisini
Taasisi: Mashule na Hospitali
Kazi za Nje: Makambi (camps) na maeneo ya ujenzi (sites)
Jinsi ya Kupata Huduma: Piga simu tu na mafuta yatakufikia mahali ulipo bila kuchelewa!
Huduma: Diesel Transportation & Delivery
Mahali: Dar es Salaam na Vitongoji Vyake
Mawasiliano: 0679128405
Juma Puga Transportation — Hakika ya Nishati Popote Ulipo!
.jpeg)
.jpeg)
(1).jpeg)
0 Comments