Rais wa Marekani, Donald Trump, ameionya Iran kuwa Marekani inajiandaa kufanya mashambulizi mengine usiku huu, ikiwa ni saa chache baada ya kutangaza kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano yamevunjika kufuatia mashambulizi ya Iran dhidi ya vituo vya kijeshi vya Marekani katika eneo la Ghuba.

0 Comments