Na Ally Mandai.
Bao la dakika za lala mkono wa Buriani kutoka kwa Ismael Mhesa linaharibu sherehe ya Eid AL-FITRI kwa Wananchi, Young Africans kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Wakata Miwa, Mtibwa Sugar FC katika dimba la Jamhuri Dodoma.
Na Ally Mandai.
Bao la dakika za lala mkono wa Buriani kutoka kwa Ismael Mhesa linaharibu sherehe ya Eid AL-FITRI kwa Wananchi, Young Africans kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Wakata Miwa, Mtibwa Sugar FC katika dimba la Jamhuri Dodoma.
0 Comments