Na Ally Mandai.
Nyota wa Liverpool Mohamed Salah ametangaza kwamba ataondoka klabuni hapo ifikapo mwishoni mwa msimu huu 2026/25
Salah
mwenye umri wa miaka 33 aliwasili Anfield akitokea Roma mwaka 2017 na
amefanikiwa kucheza mechi 435 akiwa na Liverpool, akifunga mabao 255.
Chanzo
kutoka katika Klabu ya Liverpool kinaeleza kuwa Mohamed Salah
atakamilisha kazi yake nzuri akiwa katika jezi ya Liverpool mwishoni mwa
msimu wa 2025-26 baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa miaka 9.
Klabu gani inamfaa Salah baada ya Liverpool?
0 Comments