Na Ally Mandai,Facebook.
Klabu ya Yanga SC rasmi imetwaa ubingwa wa michuano ya kombe la Mapinduzi visiwan Zanzibar baada ya mikwaju ya penati 5-4 dhidi ya Azam FC na hizi ni baadhi ya picha za matukio ya Kukabidhiwa Ubingwa wao.
Na Ally Mandai,Facebook.
Klabu ya Yanga SC rasmi imetwaa ubingwa wa michuano ya kombe la Mapinduzi visiwan Zanzibar baada ya mikwaju ya penati 5-4 dhidi ya Azam FC na hizi ni baadhi ya picha za matukio ya Kukabidhiwa Ubingwa wao.
0 Comments