Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana leo Januari 10, 2026, na wachezaji wa Taifa Stars katika hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana leo Januari 10, 2026, na wachezaji wa Taifa Stars katika hafla ya chakula cha mchana iliyofanyika Ikulu ya Magogoni, Dar es Salaam.
0 Comments