Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Daniel Baran Sillo amepitishwa kna bunge kuwa Naibu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 371 kati ya kura zote 371 zilizopigwa.
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Daniel Baran Sillo amepitishwa kna bunge kuwa Naibu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 371 kati ya kura zote 371 zilizopigwa.
0 Comments