Ndoa ni chombo kinachopaswa kuendeshwa kwa furaha, kuheshimiana, na amani. Hata hivyo, pale ambapo nyumba inageuka kuwa uwanja wa mapambano na majadiliano madogo yanapomalizika kwa matusi na vitisho vya talaka, maisha ya mume na mke huwa mateso makubwa.
Kwa miaka kumi nilikuwa kwenye ndoa niliyoidhania kuwa ya mfano, lakini ghafla mambo yalibadilika kabisa. Mume wangu alipoteza kabisa upendo na heshima kwangu, akaanza kutoka usiku wa manane, na kila nilipojaribu kuongea naye, alijibu kwa dharau na kusema ananiandalia barua ya talaka ili nitoke kwenye nyumba yake.
Hali hiyo ilinivunja moyo na kuniletea msongo mkubwa wa mawazo. Nyumba yetu ilikosa kabisa amani; watoto walikuwa wakilia kila siku wakishuhudia ugomvi usioisha kati yetu.
Nilitafuta ushauri kwa wazazi, viongozi wa dini, na hata wazee wa familia lakini jitihada zote zilugonga mwamba, huku mume wangu akizidi kuwa mkali na kuweka wazi kuwa hanitaki tena.
Nilibaki nikilia usiku kucha na kuwaza jinsi gani watoto wangu wangelelewa kwenye familia iliyosambaratika, huku nikitazama ndoa yangu ya miaka kumi ikielekea shimoni,SOMA ZAIDI.

0 Comments