NDEJEMBI APITISHWA KWA ASILIMIA MIA NA BUNGE KUWA MAKAMU WA RAIS

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limempitisha Mhe Deogratius Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.
 idadi ya kura zilizopigwa ni 324, ambapo kura zilizo haribika 0, kura za hapana ni 0 huku matokeo hayo yakizidi asilimia 50 iliyotakiwa.

Baada ya hapo Spika wa Bunge Mussa Hassan akamtangaza rasmi Bunge likipitisha rasmi jina hilo leo Agosti 28,2026.


 

Post a Comment

0 Comments