YANGA YAMALIZA VITA YA UBINGWA NBCPL

 Na Ally Mandai

Watani wa Jadi, Simba SC na Yanga SC wametoshana nguvu kwa sare ya 2-2 katika dimba la Meja Janerali Isamuhyo, Mbweni, Dar es Salaam kwenye mchezo wa Ligi kuu ya NBC Tanzania bara.

MGANGA PROFESA BAHARI KISIKI ANAKUPA UTAJIRI MPAKA MILIONI 800 BILA MASHARTI  

Wananchi wanaendelea kusalia kileleni alama 5 mbele ya mahasimu wao hao wakubwa wakifikisha alama 48 baada ya mechi 20 huku Simba SC ikisalia nafasi ya pili alama 43 baada ya mechi 20,Huku Azam akiwa na alama 40 nafasi ya 3.

FT: Simba SC 2-2 Yanga SC
⚽ 3’ Gueye
⚽ 10’ Chama
⚽ 18’ Dube
⚽ 50’ Mwamnyeto.



 

Post a Comment

0 Comments