MAMA SALMA KIKWETE AWASILI NYUMBANI KWA MAREHEMU HALIMA IDD NASSOR KIGAMBONI KWA MAZIKO

 Mbunge wa Jimbo la Mchinga Mhe, Mama Salma Kikwete wamewasili Nyumbani kwa aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Marehemu Halima Idd Nassor, Kigamboni, Jijini Dar Es Salaam leo tarehe 18 Januari, 2025

Marehemu Halima amezikwa hii leo Saa kumi jioni katika Makaburi ya Kibada kwa Dole, Kigamboni.




 

Post a Comment

0 Comments