JOSHUA MUTALE AELEKEA SAUDI ARABIA

Kiungo mshambuliaji wa Simba SC, Joshua 'Budo' Mutale, amekamilisha uhamisho wa mkopo wa miezi sita kuelekea klabu ya Al-Adalah FC inayoshiriki Ligi ya Daraja la Kwanza nchini Saudi Arabia.

​Uhamisho huu unampa Mutale fursa ya kupata changamoto mpya na uzoefu wa soka la Uarabuni baada ya kuitumikia Mnyama kwa kipindi cha hivi karibuni.

●​Mkataba: Mkopo wa miezi 6.

●​Kituo kipya: Al-Adalah Club, Saudi Arabia.



Post a Comment

0 Comments