Tumepata wasaa mzuri kuitambulisha Miradi Mikubwa ya Kimkakati kwa umma
Tumefanya ziara ya Pamoja na makundi Maalumu
1.Viongozi wa Dini
2.Boda boda/Bajaji/Daladala "Maafisa Usafirishaji"
3.Machinga, Mama Lishe, wauza mbogamboga
4.Baraza la Wazee
-Tumetembelea na Kukagua Ujenzi wa Kiradi ya Masoko Makubwa ya Mula na Kwasadala yenye Thamani ya ZAIDI YA BILIONI 12
-Mradi wa Barabara Bomang'ombe, Cheki Maji, Rundugai TPC Zaidi ya Kilometa 25
-Ujenzi wa Shule mpya za Msingi na Sekondari zenye thamani ya Zaidi ya BILIONI 9
-Jengo la Halmashauri lenye Thamani ya Bilioni 4.3
Aidha Viongozi wa dini na wazee pamoja na makundi yote wameshukuru Mh Rais kwa kuleta Fedha nyingi katika wilaya ya Hai.

.jpeg)
.jpeg)

0 Comments