RONALDO AMESHINDIKANA ATUPIA BAO LA 967

 Na Ally Mandai

Cristiano Ronaldo amefunga magoli mawili huku Sadio Mane akifunga magoli mawili wakati Al Nassr FC ya Saudi Arabia ikiibuka na ushindi mnono wa 5-2 dhidi ya Al Najma FC kwenye mchezo wa Ligi kuu ya Saudi Arabia (Saudi Pro League)

Nahodha huyo wa Ureno sasa amefikisha magoli 967 kwenye maisha yake ya soka akisaliwa na magoli 33 tu kufikisha magoli 1000.

Al Nassr FC 5-2 Al Najma FC
⚽ 45+8’ Al Hamdan
⚽ 45+9’ Mane
⚽ 56’ Ronaldo (P)
⚽ 73’ Ronaldo
⚽ 90+5’ Mane

⚽ 44’ AI Tulayhi
⚽ 47’ Cardoso



Post a Comment

0 Comments